Msumbiji imepiga hatua kubwa katika kutunza mazingira
Serikali ya Msumbiji imepiga hatua kubwa katika kulinda mazingira , hali iliyoifanya kutunukiwa tuzo wiki hii hapa Marekani.
Hata hivyo kwa mujibu wa Rais wa nchi hiyo Fellipe Nyusi alipohojiwa na Flora Nducha wa Idhaa hii amesema wana mikakati kabambe ya utekelezaji wa mabadiliko ya tabianchi na waridhia mkataba huo hivi karibuni.
Lakini kwanza anafafanua juhudi zao za utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu yaani SDG’s.
(MAHOJIANO NA RAIS FELLIPE NYUSI)