Wawajibikaji wa shambulio Davao waletwe mbele ya sheria-Ban
Katibu Mkuu Ban
Ki-moon
leo
amelaani
shambulio la
bomu
lililotokea
Ijumaa,
katika
soko la
usiku
katika
mji
wa
Davao,
Ufilipino,
lililokatili
watu 12
na
kujeruhi
wengine.
Katika
taarifa
yake
kwa
kupitia
msemaji wake, Ban
amesisitiza
haja
ya
kuhakikisha
uwajibikaji
na
kuwaleta
mbele
ya
sheria
wahusika
wa
mashambulizi
haya
ya
kigaidi.
Ban ametoa
salamu
zake
za
rambirambi
kwa
familia
ya
wahanga
na
kuwatakia
majeruhi
afueni
haraka,
na
amesema
Umoja
wa
Mataifa
unasimama
pamoja
na
serikali
na
watu
wa
Ufilipino.