Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Darfur wajifunza kiingereza

Wanawake Darfur wajifunza kiingereza

Moja ya mamlaka iliyopewa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur,Sudan(UNAMID) katika kuongoza shughuli zake za kulinda amani ni kuchangia katika mazingira salama kwa ajili ya ujenzi wa uchumi na maendeleo. Elimu ni kina cha maendeleo na walinda amani polisi wanawake wa UNAMID wamelitambua hilo, na katika makala hii tutasikia mchango wao kwa wanawake katika kambi ya wakimbizi wa ndani.