Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mcheza piano atumia kipaji chake kuleta nuru kwa watoto

Mcheza piano atumia kipaji chake kuleta nuru kwa watoto

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF huchagua watu mashuhuri au wenye ushawishi miongoni mwa jamii kuliwakilisha na kueneza ujumbe wake a haki na elimu kwa waototo duniani. Mmoja wao aliyeteuliwa hivi karibuni ni raia wa nchi ya Jordan ambaye pia ni mcheza piano mashuhuri Zade Dirani.

Je anafanya nini kuleta nuru kwa jamii zilizogubikwa na huzuni na machungu? Ungana basi na Brian Lehander kwenye makala hii kwa maelezo zaidi..