25 Agosti 2016
Mapema juma hili jamii ya kimataifa imefahamishwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto kuwa maisha ya maelfu ya watoto wa Amerika ya Kati yako shakani. Wengi hutumbukia katika hatari hizo kwa kusaka maisha bora ughaibuni.
Katika makala ifuatayo Rosemary Musumba anaeleza mazingira hatarishi yanayowakabili watoto hao ikiwamo vifo na madhara mengiee ya kimwili.