Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhamishwaji wa wakimbizi kutoka Tomping umeshika kasi

Uhamishwaji wa wakimbizi kutoka Tomping umeshika kasi

Watu waliosambaratishwa na mapigano ya hivi karibuni ndani ya miji na viunga vyake, wamekimbilia Tomping, Sudan Kusini.

Mafuriko, ukosefu wa mazingira safi na msongamano umelazimu Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini(UNMISS) na Shirika la Uhamiaji(IOM) kuhamisha wakimbizi haowa ndani kutoka Tomping na kuwapeleka Juba.

Katika makala ifuatayo Assumpta Massoi anaangazia harakati hizo..