Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya usaidizi wa kibinadamu twaelekea Bugambe, Uganda

Siku ya usaidizi wa kibinadamu twaelekea Bugambe, Uganda

Kila Agosti 19, dunia huadhimisha siku ya usaidizi wa kibinadamu ambapo mwaka huu maudhui ya siku hii ambayo lengo lake ni kuthamini mchango wa watu wanaotoa usaidizi wa kiutu pamoja na kuwakumbuka wale waliopoteza maisha yao wakati wa kutimiza wajibu huo ni utu wa pamoja. Tunaangazia kilichofanyika makao makuu ya umoja huo New York, Marekani na pia tutaungana na mwenzetu John Kibego aliyetembelea wakimbizi huko Uganda.