Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nishati mbadala yabadilisha maisha ya jamii Uganda

Nishati mbadala yabadilisha maisha ya jamii Uganda

Nchini Uganda wananchi wanatumia mbinu mbadala ya nishati kuendesha shughuli zao za kila siku na pia kupata kipato. Mbinu hizi ni moja ya juhudi za kupambana na umasikini na pia kulinda mazingira ikiwa ni baadhi ya malengo ya maendeleo endelevu.

Basi tuungane na John Kibego katika makala hii kufahamu zaidi.