Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Lugha ni nyezo ya kujifunza tamaduni na kutatua changamoto: Amani

Lugha ni nyezo ya kujifunza tamaduni na kutatua changamoto: Amani

Mkutano wa vijana kuhusu umuhimu wa lugha katika kuunganisha ulimwengu umefanyika mjini New York ambapo vijana kutoka mataifa mbalimbali wamejadili mada kadhaa ikiwamo kutumia lugha nyingine kutatua changamoto za kimaisha.

Katika mahojiano yafuatayo, Joseph Msami amekutana na mshindi wa Insha ya lugha ya Kingereza kutoka Tanzania Amani Alfred ambaye anaanza kwa kueleza dhima ya mkutano huo.