Wanyama watishia uvuvi na ufugaji, Uganda
Licha ya ukweli kwamba wanyama ni rafiki wa binadamu na hutumiwa kama sehemu ya kitoweo, baadhi yao hususani wanayama pori wamekuwa kikwazo kwa binadamu kujipatia riziki.
Nchini Uganda tunaelezwa kuwa shughuli za uvuvi na ufugaji zinakwamishwa na wanayama pori. Kulikoni? Ungana an John Kibego.