Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uchangiaji damu waendelea New York

Uchangiaji damu waendelea New York

Majuma mawili baada ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kuchangia damu mnamo Juni 14, upimaji damu kwa hiari unaendelea katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.

Joseph Msami wa idhaa hii amejitolea kuchangia damu, fuatana naye katika safari yake kuanzia ofisini hadi katika eneo maalum la kuetekeleza kitendo hicho inachopigiwa chepuo na shIrika la afya ulimwenguni WHO.