Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

MONUSCO yaimarisha uwezo wa polisi katika doria DRC

MONUSCO yaimarisha uwezo wa polisi katika doria DRC

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani MONUSCO kinaimarisha uwezo wa polisi wa nchi hiyo katika kuhakikisha amani na usalama wa mipaka na raia.

Katika operesheni maalum ziwani, MONUSCO wanafanya operesheni ya mfano. Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.