9 Juni 2016
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani MONUSCO kinaimarisha uwezo wa polisi wa nchi hiyo katika kuhakikisha amani na usalama wa mipaka na raia.
Katika operesheni maalum ziwani, MONUSCO wanafanya operesheni ya mfano. Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.