Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi na hatua za kukabaliana nayo Tanzania

Mabadiliko ya tabianchi na hatua za kukabaliana nayo Tanzania

Mabadiliko ya tabianchi nchini Tanzania sasa ni dhahiri! La muhimu ni kuchukua hatua za kukabilaina nazo. Hizo ni sauti za wakazi wa Kagera nchini humo ambao wanasema mfumo wa maisha yao ikiwamo kipato na ustawi wao kwa ujumla umeathirika pakubwa.

Katika makala ifuatayo, Tumaini Anatory wa redio washirika Karagwe Fm anakusimulia jinsi wilaya ya Karagwe ilivyoathirika na hatua zinazochukuliwa. Ungana naye.