Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jamii asilia zatangaza utamaduni wake New York

Jamii asilia zatangaza utamaduni wake New York

Mkutano wa 15 wa jamii ya watu wa asili unaendelea hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, jamii hiyo pamoja na kujadili mambo kadhaa yahusuyo utatuzi wa migogoro na amani, pia inatangaza utaamaduni wake kwa dunia.

Joseph Msami amefuatilia muziki wa asili wa jamii hiyo wakati wa mkutano huo. Ungana naye katika makala itakayokueleza kinagaubaga utamaduni wa jamii asilia.