Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tutawainua wasichana kiuchumi: Jesca Mmari

Tutawainua wasichana kiuchumi: Jesca Mmari

Tutajengea uwezo wa wanawake na wasichana na kuwajumuisha wanaume , amesema Jesca Mmari ambaye ni mratibu wa mradi wa uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wa taasisi ya wasichana wakristo Tanzania YWCA.

Katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa hii baada ya kuhudhuria mkutano wa 60 wa kamisheni ya hali ya wanawake CSW uliomalizika mwishoni mwa juma lililopita, Jesca anaanza kuzungumzuia umuhimu wa maazimio yaliyofikiwa

(SAUTI MAHOJIANO)