Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhaba wa maji na juhudi za upatikanaji wake Tanzania

Uhaba wa maji na juhudi za upatikanaji wake Tanzania

Dunia ikiwa imedhimisha siku ya maji  hivi karibuni, huduma hiyo imekuwa haba kwa baadhi ya maeneo mathalani mkoani Mbeya nchini Tanzania ambapo wananchi wanalalama kutokana na ukosefu wa maji.

Ungana na Ahazi Minga, wa radio washirika Kyela FM kutoka Mbeya Tanzania anayesimulia katika makala ifiuatayo.