Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtaala wa ukatili dhidi ya wanawake waleta mabadiliko Kenya: Veronica

Mtaala wa ukatili dhidi ya wanawake waleta mabadiliko Kenya: Veronica

Mbinu ya mtaala wa ukatili dhidi ya wanawake imeleta mabadiliko makubwa nchini Kenya amesema Veronica Shiroya kutoka taasisi ya kimataifa ya miongozo kwa wasichana WAGGSS nchini humo.

Katika mahojiano na Joseph Msami baada ya kuhutubia moja ya mikutano iliyoangazia ukatili wa kijinsia wakati wa mkutano wa 60 wa kamisheni ya wanawake CSW60 uliokamilika mjini New York, Veronica anaaza kuelezea kinagaubaga mbinu hiyo na kisha matokeo yake.

(SAUTI MAHOJIANO)