25 Machi 2016
Mkutano wa 60 wa kamisheni ya hali ya wanwake CSW60 umefunga pazia makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York. Wanawake wawakilishi wa serikali na mashirika mbalimbali wamejadili kuhusu masula nyeti ya ustawi wao pamoja na changamoto wanazokabiliana nazo katika kufikia malengo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Je nini kilijiri katika mkutano huo wa wiki mbili? Joshua Mmali anasimulia zaidi…
(Studio pkg)