Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hakuna lisilowezekana, Libya itafikia mwafaka: Kikwete

Hakuna lisilowezekana, Libya itafikia mwafaka: Kikwete

Licha ya kwamba taifa limegawanyika kutokana na kuwa na mamlaka nyingi zinaozoongoza, bado kuna matuamaini ya suluhu Libya amesema Mjumbe maalum wa Muungano wa Afrika AU katika mzozo wa Libya Jakaya Kiwete.

Katika mahojiano maalum kwa njia ya simu kutoka Tunisia kulikofanyika mkutano wa kusaka suluhu la kisiasa, Kikwete ambaye pia ni Rais mstaafu wa Tanzania amemueleza Joseph Msami kuwa ameanza hatua za awali za kujifunza kinachotatiza Libya.

( SAUTI MAHOJIANO)