Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ujasiriamali wamkomboa mwanamke Tanzania

Ujasiriamali wamkomboa mwanamke Tanzania

Uwezeshaji wa wanawake kupitia ujasiriamali ni mbinu mojawapo ya kuinua wanawake kiuchumi. Martin Nyoni wa redio washirika redio SAUT ya Mwanza Tanzania amefanya mahojiano na mmoja wa wanawake waliojikomboa kiuchumi kwa kupitia mgahawa wa chakula.