Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Kenya wajikwamua na umasikini

Wanawake Kenya wajikwamua na umasikini

Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na ustawi wa wanawake UN Women, linadhihirisha miradi mbali mbali linaloendesha katika kukuza ustawi wa wa kundi hilo.

Mathalani nchini Kenya, UN Women kwa kushirikiana na Serikali ya nchi hiyo imeendesha mradi uliowezesha wanawake kiuchumi kama anavyosimulia Grace Kaneiya katika makala ifuatayo..