Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake wajikwamua kiuchumi Uganda

Wanawake wajikwamua kiuchumi Uganda

Kuelekea siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa kila Machi nane, ambapo utekelezaji wa melengo ya maendeleo endelevu SDGs kwa kuzingatia usawa wa kijinsia unamulikwa, nchini Uganda wanawake licha ya kukabiliana na utamaduni kinzani wanajikwamua kiuchumi.

Ungana na John Kibego katika makala inayomulika juhudi hizo zinazopigiwa chepuo na mamalaka za serikali.