Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Redio yatumia lugha asilia kusaidia umma nchini Kenya

Redio yatumia lugha asilia kusaidia umma nchini Kenya

Nchini Kenya redio kama ilivyo katika nchi nyingine hutumika kwa ajili ya kutoa taarifa muhimu wakati wa majanga na kwa kupitia lugha za asili ujumbe umekuwa ukiwafikia walengwa kwa namna rahisi.

Ungana na Geoffrey Onditi wa redio washirika KBC katika makala inayofafanua namna redio inavyotumia fursa ya lugha hizo akusaidia wakati wa majanga.