Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wadau wote wanapaswa kushiriki vita dhidi ya ukeketaji:UNFPA

Wadau wote wanapaswa kushiriki vita dhidi ya ukeketaji:UNFPA

Nchi mbalimbali zimekuwa zikichukua hatua ikiwa ni pamoja na kuelimisha umma, na wadau wote wakiwemo mangariba.

Kampeni kubwa inafanywa na shirika la Umoja wa mataifa la idadi ya watu UNFPA inayosistiza kwamba wadau wote katika jamii ikiwemo serikali , viongozi wa dini na mangariba wanapaswa kushiriki vita hivi.

Florence Gachanja ni afisa mipango wa UNFPA Kenya amezungumza na Flora Nducha wa idhaa hii na anaanza kwa kufafanua hali ya tatizo hili nchini Kenya.

(MAHOJIANO NA  FLORENCE)