Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wajumbe wa Baraza la Usalama wafika Gitega kukutana na Rais

Wajumbe wa Baraza la Usalama wafika Gitega kukutana na Rais

Wakiwa ziarani Afrika, wajumbe wa Baraza la Usalama wametembelea Burundi ambako wamejadili na wawaklishi wa vyama vya upinzani, asasi za kijamii, na rais wa Burundi Pierre Nkurunziza mustakhbali wa nchi hiyo ambayo sasa iko mzozoni.

Mkutano wa faragha na Rais Nkurunziza ulifanyika nje ya mji mkuu Bujumbura kwenye eneo tulivu la Gitega.

Safari hiyo ya Gitega na maoni ya wanachama wa Baraza la Usalama vinaripotiwa na Priscilla Lecomte kwenye makala hii.