Burundi yakaribisha wajumbe wa Baraza la usalama
Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa unatarajia kufanya ziara ya siku mbili nchini Burundi katika juhudi za kukwamua mazungumzo ya mgogoro wa kisiasa nchini humo.
Serikali ya Burundi imekaribisha ziara hiyo kwa kusema ni fursa ya kushuhudia hali halisi inayojiri Burundi.
Kutoka Bujumbura, Mwandishi wetu Ramadhani Kibuga anaarifu zaidi.
(TAARIFA YA KIBUGA)