Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Madhila na usaidizi kwa wakimbizi wa Sudan

Madhila na usaidizi kwa wakimbizi wa Sudan

Maisha ukimbizini hujawa na taabu na mateso mengi. Hofu hutawala, kukosa makazi huambatana na kadhia hizi.

Nchini Sudan machafuko bado yanaendelea na hivyo kulazimu maelfu ya raia kukimbilia nchi jirani Sudan Kusini ambayo nayo mambo si shwari.Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.