Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Muziki watumika kama chombo cha matumaini kwa wakimbizi kutoka Mali

Muziki watumika kama chombo cha matumaini kwa wakimbizi kutoka Mali

Ghasia zikiiibuka katika nchi, watu hulazimika kukimbia na kuwaacha jamaa zao na mali zao. Nchini Mali wakati mapigano yalipoanza mwaka 2012 watu walikimbilia nchi jirani ikiwemo Mauritania.

Wakiwa ukimbizini,  akimbizi hawa wanajinasibu kwa nyimbo kama chombo cha kuunganisha jamii na kutoa matumaini na hata kuendeleza utamaduni wao. Basi ungana na Grace Kaneiya katika makala hii.