Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ikiadhimisha miaka 70 ya UM, Sudan Kusini yakumbushwa kuhusu amani

Ikiadhimisha miaka 70 ya UM, Sudan Kusini yakumbushwa kuhusu amani

Hisia na kumbukumbu za nchi kutumbukia katika machafuko ni miongoni mwa matukio yalioghubika maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa mjini Juba nchini Sudan Kusini.

Hizi ni sherehe zilizofanyika chini ya ulinzi wa askari walinda amani katika ofisi za ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo. Ungana na Jospeh Msami aliyemulika sherehe hizo katika makala ifutayo.