Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa Innovate Kenya waleta nuru kwa sekta ya teknohama

Mradi wa Innovate Kenya waleta nuru kwa sekta ya teknohama

Katika kutambua umuhimu wa teknohama katika jamii mradi wa Innovate Kenya umeanzishwa nchini Kenya kwa lengo la kuchagiza uwekezaji katika teknolojia kupitia makundi ya vijana.

Uti wa mgongo wa mradi huu ni progamu ya mafunzo kupitia mtandao kuhusu uwekezaji wa kijamii inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la makazi duniani UN-Habitat ambao wanatoa mafunzo. Kupata kwa undani ungana na Grace Kaneiya katika makala hii.