Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hafla ya maadhimisho ya wiki ya Afrika yapambwa kwa nyimbo na vyakula

Hafla ya maadhimisho ya wiki ya Afrika yapambwa kwa nyimbo na vyakula

Wakati wiki ya Afrika ikitia nanga hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York kumefanyika mikutano ambayo imelenga kujadili maswala yanayolenga bara hilo. Kwani Afrika ni moja ya ajenda kuu ya Umoja huo.

Kwa mantiki hiyo kumefanyika hafla maalum ya kuadhimisha wiki hii Alhamisi mchana kwa malengo ya kuwaleta pamoja watu kutoka Afrika kujumuika pamoja.

Je ni yapi yaliyojiri? Grace Kaneiya alikuwa shuhuda wetu, basi ungana naye katika makala hii.