Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mamilioni wanakabiliwa na uhaba wa chakula nchi zinazoendelea: WFP

Mamilioni wanakabiliwa na uhaba wa chakula nchi zinazoendelea: WFP

Siku ya kimataifa ya chakula ikiadhimishwa mnamo Oktoba 15, ripoti za shirika la Umoja wa Mataifa la chakula WFP zinaonyesha kuwa mamailioni ya watu katika nchi zinazoendelea wana uahaba wa chakula.

Ungana na John Kibego katika makala ifutayo ambapo amekwenda katika soko nchini Uganda na kisha kumtembelea mama ambaye kwa mujibu wa utamaduni wa eneo hilo ana wajibu wa kuhudumia chakula kwa familia.