Skip to main content

Harakati za kujikwamua kutokana na utegemezi wa mshahara nchini Uganda

Harakati za kujikwamua kutokana na utegemezi wa mshahara nchini Uganda

Malengo 17 ya Maendeleo endelevu yakisubiriwa kuridhiwa mwezi huu wa Septemba, Daktari mmoja nchini Uganda amejihusisha moja kwa moja katika kilimo kwa nia ya kuhakikisha usalama wa chakula, na kuepuka utegemezi wa mshahara ambao anasema ni duni kulingana na mahitaji ya familia yake.Kupata zaidi, unngana na John Kibego katika makala ifuatayo.