Watu wenye ulemavu mashinani kuhudumiwa Tanzania
Wananchi mkoani Kagera nchini Tanzania watanufaika na huduma zitolewazo kwa watu wenye ulemavu baad ya ya kituo cha kuhudumia makundi hayo wilayani Karagwe kuanza kufanya kazi.
Kwa undani wa Makala hii ungana na Tumaini Anatory wa redio washirika redio Karagwe Fm ya Kagera Tanzania.