Utunzaji wa mazingira Tanzania wainua kipato
Usafi wa mazingira jijini Mwanza Tanzania sio tu kwamba umewezesha muoneakano bora wa jiji hilo, bali pia umeinua kipato cha wanavikundi ambao wamelivalia njuga suala la usafi katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Martin Nyoni wa redio washirika redio SAUT ya Mwanza amezunguka katika maeneo kadhaa kujionea miradi ya bustani za umwagiliaji na mchango wake katika kutunza mazingira jijini humo.Ungana naye.