Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete

Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu  kuhusu malengo ya maendelo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikiwete.

Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa Mataifa hivi karibuni, mbunge huyo wa Chalinze mkoani Pwani anasema licha ya fursa lukuki za kimaendeleo ajira ni changamoto kubwa kwa vijana katika  nchi zinazoendelea.

(SAUTI MAHOJIANO)