Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Simanzi yatawala wakati wa heshima za mwisho kwa askari wa Mali

Simanzi yatawala wakati wa heshima za mwisho kwa askari wa Mali

Nchini Mali ujumbe wa Umoja wa Mataifa  wa kumarisha utulivu MINUSMA pamoja na jumuiya za kimataifa zinaendelea na uimarishwaji  wa amani kupitia makubaliano ya amani ili kumaliza mzozo nchini humo huku ukikumbana na changamoto  mbalimbali.

Miongoni mwa changamoto hizo ni  kuuliwa  kwa walinda amani ambapo juma lililopita wengina sita kutoak Burkina Faso waliuwawa huku katika shambulio lingine huko  Timbuktu askari wengine watano waliuwawa. Ungana Joseph Msami katika makala ifutayo