Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ufugaji nyuki wakwamua maisha ya wafugaji Uganda

Ufugaji nyuki wakwamua maisha ya wafugaji Uganda

Ili kukabiliana na umasikini ambalo ni lengo la kwanza la malengo ya maendeleo ya  milenia linalofikia ukomo mwaka huu ufugaji wa nyuki ni moja ya mbinu ya kujiongezea kipato ambayo imeonesha mafaniko nchini Uganda.

John Kibego kutoka Hoima nchini humo anaangazia namna ufugaji wa nyuki ulivyobadili maisha ya wafugaji na jamii husika.