Uchafuzi wa mazingira waanza kudhibitiwa Nigeria
Barani Afrika, miji inakumbwa na changamoto nyingi zitokanazo na kasi ya ukuaji wake.Benki ya Dunia inakadiria kuwa angalau miji nane barani Afrika itazidi idadi ya watu wanaoishi ya milioni 6, ikiwemo Nairobi, Kenya na Dar Es Salaam, Tanzania. Uchafuzi wa hewa, maji na ardhi huhatarisha afya ya binadamu na hatimaye ukuaji wa uchumi.
Nchini Nigeria, mradi uliofadhiliwa na Benki ya Dunia umefanikiwa kuimarisha mwelekeo wa magari barabarani. Kulikoni ? Ungana na Priscilla Lecomte kwenye makala hii.