Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP Uganda yaomba msaada wa wahisani kulisha wakimbizi kutoka Burundi

WFP Uganda yaomba msaada wa wahisani kulisha wakimbizi kutoka Burundi

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) nchini Uganda linasema kuwa, litahitaji ufadhili mpya mwishoni mwa mwaka huu, kutokana na ongezeko la wakimbizi hasa wanaokimbia vurugu za kisiasa nchini Burundi ambazo zimesababisha maelfu kukimbilia nchi jirani. Maelezo zaidi, na John Kibego.

(Taarifa ya Kibego)