Kupinga ajira za utotoni, Uganda yajitutumua
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya Kupinga Ajira za Utotoni Duniani, inayotaka mataifa kuchukau hatua dhidi ya ajira hizo haramu nchini Uganda juhudi za kuwarejesgha shuleni watoto waliokombolewa katika ajira mbalimbali ikwamo katika sekta ya kilimo zinaendelea.
Ungana na John Kibego kutoka wilayani Hoima nchini humo katika makala inayosimulia namna burudani ya ngoma inavyotumiwa kuvutia watoto kusoma.