Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Huduma za usaidizi zasonga mbele Nepal.

Huduma za usaidizi zasonga mbele Nepal.

Nchini Nepal, wakati tetemeko la awamu ya pili likitibua matumaini ya raia ya kurejea katika hali ya kawaida baada ya lile la mwezi Aprili ambalo lilisababisha vifo vya maelfu ya watu, mashirika ya Umoja wa Mataifa sasa yanahaha kufanya tathimini za mahitaji kwa ajili ya usaidizi.

Mashirika hayo yakiongozwa na lile la mpango wa chakula duniani WFP yanakusanya taarifa toka kwa waathirika nakuangalia viwango vya madhara kama anavyosimulia Grece Kaneiya katika makala ifuatayo.