Wakimbizi wa Burundi wamiminika Rwanda
Wakati mzozo wa kisiasa nchini Burundi ukiendelea, wananchi wasio na raia wanateseka ambapo maelfu kwa maelfu wamekimbilia nchi jirani kusaka hifadhi ikiwamo Rwanda na Tanzania.Wakimbizi hawa hukumbana na madhila mbalimbali katika harakati za kusaka hifadhi kama anavyosimulia Joseph Msami katika makala ifuatayo.