Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wa Burundi wamiminika Rwanda

Wakimbizi wa Burundi wamiminika Rwanda

Wakati mzozo wa kisiasa nchini Burundi ukiendelea,  wananchi wasio na raia wanateseka ambapo maelfu kwa maelfu wamekimbilia nchi jirani  kusaka hifadhi ikiwamo Rwanda na Tanzania.Wakimbizi hawa hukumbana na madhila mbalimbali katika harakati za kusaka hifadhi kama anavyosimulia Joseph Msami katika makala ifuatayo.