Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utafiti wa dawa ni baadhi ya mbinu za kutokomeza malaria Kenya

Utafiti wa dawa ni baadhi ya mbinu za kutokomeza malaria Kenya

Katika kukabiliana na malaria nchini Kenya mbinu mbadala zimekuwa zikitumika mathalani utafiti na mbinu shirikishi ili kutimiza lengo la kuwa na jamii isiyo na maambukizi ya malaria ugonjwa unaosababishwa na mbu aina ya anophlex ambako takwimu za mwaka jana zinaashiria kwamba takriban watu milioni 15 waliambukizwa ugonjwa huo.Basi ungana na Geoffrey Onditi wa radio washirika KBC katika makala hii,  anayeanza kwa kuzungumza na wanananchi ili kufahamu uelewa wao kuhusu malaria.