Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Onesho maalum la watu wa asili lafana

Onesho maalum la watu wa asili lafana

Wakati kongamano la 14 la jamii za watu wa asili likiendelea mjini New York nchini Marekani, makundi mbalimbali ya jamii hizo yamekutana kwa ajili ya kuonyesha utamadnuni na mila zao kupitia nyimbo, vyakula na hata mavazi.

Joseph Msami amehudhuria onesho hilo na kutuandalia makala ifuatayo.