Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kufunguliwa kwa shule baada ya Ebola kwaibua furaha Sierra Leone

Kufunguliwa kwa shule baada ya Ebola kwaibua furaha Sierra Leone

Baada ya kadhia ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababisha vifo ya maelfu ya watu, katika nchi za Afrika ya Magharibi hususan Liberia, Sierra Leone na Guinea, shule ambazo zilifungwa awali ili kuepuka maambukizi zaidi zimefunguliwa.

Nchini Sierra Leone kufunguliwa kwa shule hizi kumeibua furaha kwa wadau mbali mbali wa elimu.

Basi ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.