Skip to main content

Vijana wapaza sauti zao kutaka ujumuishwaji wa maendeleo

Vijana wapaza sauti zao kutaka ujumuishwaji wa maendeleo

Mkutano wa 48  kuhusu idadi ya watu na maendeleo ulioandaliwa  na tume ya idadi na maendeleo CPD unaendelea mjin New York ambapo miongoni mwa mada jadiliwa ni  nafasi ya vijana katika ajenda ya maendeleo baada ya mwaka 2015.

Brenda Mbaja ni mwakilishi wa mtandao wa barubaru na vijana wa Afrika NAYA kutoka Kenya na katika mahojiano kandoni mwa mkutano huo ameiambia idhaa hii umuhimu wa kujumuisha vijana katika mipango ya maendeleo.

(SAUTI BRENDA)

Vijana wenyewe wana jukumu gani katika kukuza ajira...

(SAUTI BRENDA)