Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kumbukizi maalum ya mauaji ya Holocaust

Kumbukizi maalum ya mauaji ya Holocaust

Miaka 70 iliyopita katika kambi ya mateso ya Auschwitz Birkenau majeshi ya washirika yaliyokomboa wafungwa wengi wao wayahudi waliokuwa wanakumbwa na madhila ya kutisha ndani ya kambi hiyo.

Madhila hayo yalitekelezwa na serikali ya kinazi ya Ujerumani. Wiki hii kwenye Umoja wa Mataifa kulifanyika kumbukizi ya tukio hilo kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na miongoni mwa waliyojiri ni simulizi kutoka kwa manusura wachache waliobakia hai.

Je nini walisimulia? Ungana na Assumpta Massoi kwenye makala hii..