Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Migogoro endelevu inazidisha ufukara Afrika : Dk Salim

Migogoro endelevu inazidisha ufukara Afrika : Dk Salim

Kufahamu zaidi kuhusu migogoro Afrika na maajliwa ya bara hilo kwa mwaka ujao Jarida hili maaluam limezungumza na mwanadiplomasia na katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Afrika AU Dk Salim Ahmed Salim ambaye pia anazungumzia pia kuondolewa kwa vikwazo na uhasama kati ya Marekani na Cuba

 (DK SALIM)