Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mama, mtoto waunganishwa tena Sudan Kusini baada ya kupoteana wakiokoa maisha yao

Picha: UNIFEED video caption

Mama, mtoto waunganishwa tena Sudan Kusini baada ya kupoteana wakiokoa maisha yao

Baada ya dhiki ni faraja. Usemi huu umetimia nchini Sudan Kusini pale mama aliyekata tamaa ya kumuona mtoto wake ambaye alitengana naye katikahaakati za kunusuru maisha katika shambulizi kukutanishwa naye tena.

Kufahamau undani wa kisa hiki ungana na Asumpta Massoi katika makala ifuatayo.